Orodha ya Magavana wa Tanganyika

Bendera ya Tanganyika (1919-1961)

Magavana wa Tanganyika walikuwa wawakilishi wakuu wa Uingereza katika Tanganyika wakati wa ukoloni kuanzia 1920 hadi uhuru. Walikuwa na mamlaka yote ya serikali kwa niaba ya serikali ya Uingereza.

Baada ya uhuru wa Tanganyika kwenye tarehe 9 Desemba 1961 gavana Mwingereza Richard Turnbull aliitwa "gavana mkuu" (general governor) alikuwa mwakilishi wa malkia aliyekuwa mkuu wa dola hadi kuanzishwa kwa jamhuri ya Tanganyika mnamo tar. 9 Desemba 1962.


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy